Friday, October 3, 2014

5 Days of People being healed in the Church of the Valley of Blessings.


Ni Mkutano wa kipekee wa Injili ya Bwana Yesu Kristo, Ndani ya siku 5 Katika kanisa la Bonde la Baraka lililopo mkoa wa Mara (Tanzania), Atakuwapo Mchungaji Daniel Ouma (Dao) wa Musoma (Mara) na Mchungaji Joseph Mapunda wa Daersalam Wakiubili neo la Mungu na kuponya watu wenye Magonjwa hupona, Mapepo kukimbia. Nyote Mnakaribishwa katika kanisa la Bonde la Baraka.

Mkutano Mkuu wa Injili ya Yesu Kristo katika Kanisa la Bonde la Baraka na Mchungaji Joseph Mapunda

0 comments: