Friday, November 14, 2014

KONGAMANO LA KIMATAIFA MKOA WA MARA

Ni Kongamano la Kimataifa Kwa Wachungaji wote wa mkoa wa Mara litakalo fanyika katika kanisa la Bonde la Baraka tarehe 26 hadi 29 Novemba 2014, Kongamano hilo litaendeshwa na JIM AND DEBRA WALKER kutoka  Australia. Ndugu tukae kwa Umoja Zab 133:1

0 comments: