Day of Prayer for the Peace of Jerusalem

Sunday, November 23, 2014

Bonde la Baraka Ni Jumapili ya Upako

Ni Jumapili ya Upako na Mwijilisti Morice ndani ya kanisa la Bonde la Baraka


Jumapili ya Upako sana Bonde la Baraka

Ni Jumapili ya Upako sana katika kanisa la Bonde la Baraka kwa Mataifa yote



Vijana wakiomba katika kanisa la Bonde la Baraka Kwa Mataifa yote







Mujiza ndani ya Kanisa la Bonde la Baraka

Mama huyu Mtoto wake alikuwa hana uwezo wa kutembea  baada ya maombezi ya Mtumishi wa Mungu Daniel Dao Mtoto huyu ameweza kupiga hatua za kutembea tizama picha Hizi.


Sunday, November 16, 2014

Watanifananisha Kumbe si Mwingine.

Yesu amenipaka TOPE kupitia Nabii Daniel Dao na wakati nanawa uso wangu TOPE lililo kuwa linadondoka ndivyo laana,mikosi,balaa,magonjwa, kukataliwa na ulevi sugu ulivyo dondoka kuzimu. Sasa naona na ninachunga kondoo wa bwana. YOHANA 9:7.



Friday, November 14, 2014

KONGAMANO LA KIMATAIFA MKOA WA MARA

Ni Kongamano la Kimataifa Kwa Wachungaji wote wa mkoa wa Mara litakalo fanyika katika kanisa la Bonde la Baraka tarehe 26 hadi 29 Novemba 2014, Kongamano hilo litaendeshwa na JIM AND DEBRA WALKER kutoka  Australia. Ndugu tukae kwa Umoja Zab 133:1

Saturday, November 8, 2014

Welcome to the Valley of Blessings for All Nations


If you are looking for a church where you can come as you are, find people who accept you as you are, and where you can grow to become everything that you want to be, then Vbfans Church may be the place for you. We are a diverse church with a common goal: worshiping our God and making known His fame.
We hope that as you find out more about us that you will discover a place where you can find friends and family.


Blessings!
Pastor Daniel & Debra Ouma

Friday, November 7, 2014

"Siku ya Kufunguliwa katika kanisa la Bonde la Baraka"

Maombezi ya Imani katika kanisa la Bonde la Baraka wenye Magonjwa Hupona na Mapepo hukimbia. Jina la Bwana Yesu liinuliwe "Amen"




Thursday, November 6, 2014

"Ni Siku ya Upako wa Mungu Ndani ya kanisa la Bonde la Baraka"

Kushoto Upande wa Chini ni Mwanamke aliye kuwa hawezi hata kula chakula wala kunywa maji, Baada ya maombezi ya Imani katika kanisa la Bonde la Baraka amepona Kabisa na anaweza Kula na Kunywa Jina la Bwana liinuliwe "Amen".

































Maombezi ya Imani katika kanisa la bonde la Baraka  watu wakibubujika machozi.
 "Siku ya Maombezi ndani ya kanisa la Bonde la Baraka".

"Jumatano ya Upako katika kanisa la The valley of blessings".

Ni Jumanato hilio jaa neema ya Ajabu Ambayo watu wengi wamefunguliwa katika kanisa hili Mungu Awabariki Na Awape Uzima na Nguvu za kumtumikia "Amen"