Sunday, December 7, 2014
Friday, December 5, 2014
Ni Conference ya Kimataifa iliyo fanyika katika kanisa la bonde la Baraka
Friday, December 05, 2014
No comments
Sunday, November 23, 2014
Sunday, November 16, 2014
Friday, November 14, 2014
Saturday, November 8, 2014
Welcome to the Valley of Blessings for All Nations
If you are looking for a church where you can come as you are, find people who accept you as you are, and where you can grow to become everything that you want to be, then Vbfans Church may be the place for you. We are a diverse church with a common goal: worshiping our God and making known His fame.
We hope that as you find out more about us that you will discover a place where you can find friends and family.
Blessings!
Pastor Daniel & Debra Ouma
Friday, November 7, 2014
Thursday, November 6, 2014
"Ni Siku ya Upako wa Mungu Ndani ya kanisa la Bonde la Baraka"
Thursday, November 06, 2014
No comments
Kushoto Upande wa Chini ni Mwanamke aliye kuwa hawezi hata kula chakula wala kunywa maji, Baada ya maombezi ya Imani katika kanisa la Bonde la Baraka amepona Kabisa na anaweza Kula na Kunywa Jina la Bwana liinuliwe "Amen".
"Jumatano ya Upako katika kanisa la The valley of blessings".
Thursday, November 06, 2014
No comments
Sunday, October 5, 2014
DEMONSTRATION OF DPPJ IN MUSOMA, MARA, TANZANIA.
Sunday, October 05, 2014
No comments
Ni Maandamano ya DPPJ ya Waumini wa kanisa la Bonde la Baraka wakiwa wameshikilia Mabango yanayo ashiri Amani na Utulivu wa kipekee katika Nchi yetu ya Tanzania na Mji mkuu wa Jerusalem, Waumini wa kanisa la Bonde la Baraka Musoma Tanzania wakiwa katika kiwanja cha Mkendo Wakielekea kanisani. Ni neema ya Mungu kutufikisha Hapa tulipo sasa.
Friday, October 3, 2014
5 Days of People being healed in the Church of the Valley of Blessings.
Friday, October 03, 2014
No comments
Ni Mkutano wa kipekee wa Injili ya Bwana Yesu Kristo, Ndani ya siku 5 Katika kanisa la Bonde la Baraka lililopo mkoa wa Mara (Tanzania), Atakuwapo Mchungaji Daniel Ouma (Dao) wa Musoma (Mara) na Mchungaji Joseph Mapunda wa Daersalam Wakiubili neo la Mungu na kuponya watu wenye Magonjwa hupona, Mapepo kukimbia. Nyote Mnakaribishwa katika kanisa la Bonde la Baraka.
Mkutano Mkuu wa Injili ya Yesu Kristo katika Kanisa la Bonde la Baraka na Mchungaji Joseph Mapunda
Siku 5 za Miujiza Katika kanisa la Bonde la Baraka.
Friday, October 03, 2014
1 comment
Ni siku ya kipekee ya Mkutano wa Injili Unaofanyika ndani ya siku Tano (5) katika kanisa la Bonde la Baraka na Mchungaji Daniel Ouma(Dao), Kanisa la Bonde la Baraka tuna furaha ya kutembelewa na Mchungaji Joseph Mapunda wa Daersalam Kwa pamoja wakifanya huduma ya Mungu na Kuwafungua watu wenye matatizo mbali mbali, Mapepo kukimbia, Wagonjwa Kupona na Wengine Kupokea Baraka.
Thursday, October 2, 2014
Pray for the Peace of Jerusalem.
The
world to remember that the first Sunday of every October we need to
pray for the Peace of Jerusalem, As Christians, we believe in prayer,
and we pray for our nations and for our cities. But there is one city
for which the Bible specifically mentions that we should pray:
Jerusalem. How many of us actually pray for the 'Peace' of this city?
Now is the time to start praying for this city where Jesus ministered,
where He was crucified, where He rose from the dead and where He will
come back! He is the one who will bring the "Peace" we are praying for,
because only He is the "Prince of Peace
Sunday, September 28, 2014
Tunaomba kwa ajili ya Amani ya Yerusalemu.
"Kama Wakristo, tunaamini katika sala, sisi tunaomba kwa ajili ya mataifa yetu na kwa miji yetu Lakini kuna mji moja ambayo Biblia inataja kwamba tunapaswa kusali kwa ajili ya Yerusalemu, Wengi wetu tunaomba kwa ajili ya 'Amani' ya mji huu. Sasa ni wakati wa kuanza kuomba kwa mji huu ndio Yesu alifanyia ibada, ndipo alisulubiwa, alipo fufuka kwake kutoka wafu na Yeye atakuja tena! Yeye ni mmoja ambaye ataleta "Amani", Ni kuomba kwa ajili yake , kwa sababu yeye ni "Mkuu wa Amani!"
The world to remember that the first Sunday of every October we need to pray for the Peace of Jerusalem, As Christians, we believe in prayer, and we pray for our nations and for our cities. But there is one city for which the Bible specifically mentions that we should pray: Jerusalem. How many of us actually pray for the 'Peace' of this city? Now is the time to start praying for this city where Jesus ministered, where He was crucified, where He rose from the dead and where He will come back! He is the one who will bring the "Peace" we are praying for, because only He is the "Prince of Peace
Saturday, September 27, 2014
Special Prayers and Prophecy for you from Pastor Daniel Ouma
Stickers and brochures are available at the church in the valley of blessing.
Please contact us by email revdao@gmail.com or +255 755 808 039
Maombi ya kinabii kwako toka kwa Pasta Daniel Ouma.
Kanisa
limetengeneza Stika na Vipeperushi kwa ajili ya marafiki wa huduma ya
mtumishi. Kwa kweli, Stika hizi zina Upako wa Ajabu na wa kipekee!!
Usiikose kuibandika katika gari, begi, pikipiki, milango nk...
Mungu wa Mbinguni, endelea kumpa mtu huyu mafanikio/Baraka, na mahitaji binafsi, ya ki-afya, ki-elimu, ki-uchumi na utele wa amani. Kwa mchango wake naomba umpe rafiki yangu kukutumikia huku ukimuinua ki-nabii sawa na upendeleo wako kwa jina la Yesu, Amina. Stika na Vipeperushi hivi vinapatikana katika kanisa la Bonde la Baraka.
Mungu wa Mbinguni, endelea kumpa mtu huyu mafanikio/Baraka, na mahitaji binafsi, ya ki-afya, ki-elimu, ki-uchumi na utele wa amani. Kwa mchango wake naomba umpe rafiki yangu kukutumikia huku ukimuinua ki-nabii sawa na upendeleo wako kwa jina la Yesu, Amina. Stika na Vipeperushi hivi vinapatikana katika kanisa la Bonde la Baraka.
Tafadhali wasiliana nasi kwa barua pepe revdao@gmail.com au piga simu +255 755 808 039
Thursday, September 25, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)