Sunday, September 21, 2014
Leo ni Jumapili ya upako wa ajabu katika
kanisa la bonde la baraka na Mchungaji Musa Mwaijele, mchungaji Musa
alitembelea kanisa la Bonde la Baraka. Ni jumapili ambayo imekuwa ya kipekee
katika kanisa la Bonde la Baraka. Amina
0 comments:
Post a Comment