Thursday, November 6, 2014

"Ni Siku ya Upako wa Mungu Ndani ya kanisa la Bonde la Baraka"

Kushoto Upande wa Chini ni Mwanamke aliye kuwa hawezi hata kula chakula wala kunywa maji, Baada ya maombezi ya Imani katika kanisa la Bonde la Baraka amepona Kabisa na anaweza Kula na Kunywa Jina la Bwana liinuliwe "Amen".

































Maombezi ya Imani katika kanisa la bonde la Baraka  watu wakibubujika machozi.
 "Siku ya Maombezi ndani ya kanisa la Bonde la Baraka".

0 comments: