Sunday, November 16, 2014

Watanifananisha Kumbe si Mwingine.

Yesu amenipaka TOPE kupitia Nabii Daniel Dao na wakati nanawa uso wangu TOPE lililo kuwa linadondoka ndivyo laana,mikosi,balaa,magonjwa, kukataliwa na ulevi sugu ulivyo dondoka kuzimu. Sasa naona na ninachunga kondoo wa bwana. YOHANA 9:7.



0 comments: