Day of Prayer for the Peace of Jerusalem

Friday, April 17, 2015

STORI YA KWELI KUHUSIANA NA KIJANA JAPHET

ALITOLEWA KAFARA NA BABA YAKE MZAZI ILIAPATE UTAJIRI, ALIFUKIWA NDANI YA KICHUGUU NA KUBADIRISHWA NGOZI YAKE KAMA GAMBA LA NYOKA.

Askofu Daniel Ouma(Dao) mwenye suti nyeusi na chupa ya mafuta ya Upako(Anointing oil) mkononi wa kanisa la bonde la baraka lililopo Musoma akimfanyia maombezi kijana Japhet mwenye tisheti ya buluu ambae ameweka mikono yake usoni.



 Kijana Japhet alikuwa akiishi jijini Dar eslaam na wazazi wake wote, baba yake japhet aliingiwa na tamaa ya utajiri ndipo akaenda kwa mganga wakienyeji ili apatiwe mbinu za kupata utajiri, mganga alimwambia kuwa ili apate utajiri nilazima atoe kafara mtoto wake ndipo apate utajiri.

Ndipo aliamua kumtoa kafara kijana wake Japhet ili kusudi apate mali kama alivyo kuwa amekusudia lengo ikiwa ni kuondokana na umaskini wakukosa fedha na malizingine nyingi. Kijana Japhet anasimulia jinsi alivyotolewa kafara na baba yake mzazi japo Mungu alisimama upande wake kupitia maombi ya Askofu Daniel Ouma(Dao) wa kanisa la Bonde la Baraka ambako kijana japhet aliponywa kinabii.

Kijana Japhet  akielezea ‘’Ilikuwa ni mara ya pili kwa baba yangu mzazi ambae aliamua kunitoa kafara ili atajirike,awali baba yangu alimtoa kafara kaka yangu ambae siwezi kumtaja jina lake, kaka alikufa japo baba hakupata mali kama ambavyo alikuwa ameambiwa na mganga wake’’Mtoto Japhet  aliendelea akisema kuwa ‘’Baada ya mpango wake huo kukwama ndipo aliambiwa atoe kwa mara ya pili kijana wake, Ngozi yangu ilibadirishwa na kuwa gamba la nyoka kisha akafukia nyoka kwenye kichuguu ili yule nyoka anapojivua gamba nami ngozi yangu inabadilika kuwa gamba la nyoka huyo, ngozi ya mwili wangu ili badilika kabisa nikawa siwezi hata kuvaa nguo, kwani kila nilipo jaribu kuvaa mavazi yalinata kwenye mwili wangu na kupelekea mavazi yale kushikamana na mwili wangu’’

SAFARI YA UPONYAJI WA KIJANA JAPHET NDANI YA BONDE LA BARAKA KWA MATAIFA YOTE MUSOMA.

Askofu Daniel Ouma (Dao) akiwa ameshikilia mkono wa kijana Japhet kwa ajili ya kumfanyia maombezi pichani, Kijana japhet mkono wake unaonekana ukiwa umebanduka ngozi kutokana na baba yake mzazi kumtoa kafara ili apate utajiri.










Pia baadhi ya viungo vya mwili wangu vilianza kufifia kama vile kucha, vidole, nilikuwa nikiishi kwa shida sana na nilikosa amani wakati wote, nilikuwa nikizungukwa na nzi wengi kila wakati ilifikia hatua nikawa nanuka sitamaniki mbele za watu wengine huku wengine nikiwaona wakifurahi na kurukaruka wakiwa na afya njema’’

‘’Mama yangu mzazi baada ya kugundua kwamba nimeshatolewa kafara na muda wowote naweza kufa, aliamua kunitorosha kutoka jijini Dar eslaam na kunileta musoma kwa ndugu yake mama, ambapo baada ya kufika mjini Musoma mama aliendelea kutafuta mbinu ya kunipatia matibabu, alifika kwa watumishi wengi sana wa Mungu baadhi yao waliponiona jinsi nilivyo waliogopa hata kunifanyia maombezi kwani sikutamanika machoni pa watu wengi wao walikuwa wanamwambia mama kuwa nakufa kweli mama yangu alikuwa na mawazo kila wakati huku akiwaza jinsi gani anaweza kuninusuru na roho ya mauti ambayo ilikuwa tayari inaniandama baada ya kuona hali hiyo inazidi kuwa mbaya kila wakati mama aliambiwa na watu kwamba nipelekwe kanisa la bonde la Baraka kwa mataifa yote nitapona kutokana na Askofu huyo kutajwa kuwa na uwezo ambao Mungu anamtumia kuliko kawaida kuwaponya wenye shida mbalimbali  ikiwa ni pamoja na matasa, wagonjwa, wenye laana na mikosi, nakila tatizo sugu katika maisha ya wanadamu’’
Fatilia kitakacho jili kwenye blog yetu vbfans1.blogspot.com uweze kujua safari ya uponyaji wa kijana Japhet ndani ya kanisa la Bonde la Baraka kwa Mataifa yote.
Wasiliana na Askofu kwa email revdao@hotmail.com au tembelea Tovuti yetu vbfans1.blogspot.com






Wednesday, April 15, 2015

The children's parents died some years ago

The children's parents died some years ago and after their death, the children's grandmother who stays with them was falsely alleged to be a witch in their former village where she ran away for her rescue leaving her home burned. Don't scroll, join by prayers or give a help to the children to be back to school. Say amen to them!!

We thank God for Equip and support.

Thanking Equip can not end in us! Raising a school in Musoma Tanzania is becoming possible now even though still much to be achieved. Teaching English is one of our major focus for our coming generation. Help us achieve!!!! We need to have all orphans around us feel loved, cared for and embraced!



Sunday, December 7, 2014

Mtumishi Juma Bonde la Baraka

Ni Mtumishi wa Mungu Juma Akiwaombea Wahumini Ndani ya Kanisa la Bonde la Baraka Mungu Ampatie Uzima Tele Amen.



Ni Jumapili ya Upako

Ni Jumapili iliyo Njaa Neema ya Ajabu Na Mtumishi Juma Wahumini wakibubujika Machozi.
Ndani ya Kanisa la Bonde la Baraka Jumapili Ya Upako


Asubuhi ya Utukufu Bonde la Baraka

Ni Ibada ya Utukufu ya Asubuhi katika kanisa la bonde la Baraka watu wakiwa katika Maombi.

Friday, December 5, 2014

Jim and Debra Walker

Ni Conference iliyofanyika katika kanisa la bonde la baraka Na watumishi wa mungu Jim and Debra walker wa Australia Watuwengi wameponwa na Kufunguliwa mungu Apewe sifa Amen"


Jim and Debra walker wa Austalia wakiwa katika kanisa la Bonde la Baraka




Ni Conference ya Kimataifa iliyo fanyika katika kanisa la bonde la Baraka







International Conference in The valley of blessings


International Conference in The valley of blessings by Jim and Debra walker - Australia 

 International Conference in The valley of blessings and T.B Samel Ben


Conference Katika kanisa la bonde la baraka


Sunday, November 23, 2014

Bonde la Baraka Ni Jumapili ya Upako

Ni Jumapili ya Upako na Mwijilisti Morice ndani ya kanisa la Bonde la Baraka


Jumapili ya Upako sana Bonde la Baraka

Ni Jumapili ya Upako sana katika kanisa la Bonde la Baraka kwa Mataifa yote



Vijana wakiomba katika kanisa la Bonde la Baraka Kwa Mataifa yote







Mujiza ndani ya Kanisa la Bonde la Baraka

Mama huyu Mtoto wake alikuwa hana uwezo wa kutembea  baada ya maombezi ya Mtumishi wa Mungu Daniel Dao Mtoto huyu ameweza kupiga hatua za kutembea tizama picha Hizi.


Sunday, November 16, 2014

Watanifananisha Kumbe si Mwingine.

Yesu amenipaka TOPE kupitia Nabii Daniel Dao na wakati nanawa uso wangu TOPE lililo kuwa linadondoka ndivyo laana,mikosi,balaa,magonjwa, kukataliwa na ulevi sugu ulivyo dondoka kuzimu. Sasa naona na ninachunga kondoo wa bwana. YOHANA 9:7.



Friday, November 14, 2014

KONGAMANO LA KIMATAIFA MKOA WA MARA

Ni Kongamano la Kimataifa Kwa Wachungaji wote wa mkoa wa Mara litakalo fanyika katika kanisa la Bonde la Baraka tarehe 26 hadi 29 Novemba 2014, Kongamano hilo litaendeshwa na JIM AND DEBRA WALKER kutoka  Australia. Ndugu tukae kwa Umoja Zab 133:1

Saturday, November 8, 2014

Welcome to the Valley of Blessings for All Nations


If you are looking for a church where you can come as you are, find people who accept you as you are, and where you can grow to become everything that you want to be, then Vbfans Church may be the place for you. We are a diverse church with a common goal: worshiping our God and making known His fame.
We hope that as you find out more about us that you will discover a place where you can find friends and family.


Blessings!
Pastor Daniel & Debra Ouma

Friday, November 7, 2014

"Siku ya Kufunguliwa katika kanisa la Bonde la Baraka"

Maombezi ya Imani katika kanisa la Bonde la Baraka wenye Magonjwa Hupona na Mapepo hukimbia. Jina la Bwana Yesu liinuliwe "Amen"




Thursday, November 6, 2014

"Ni Siku ya Upako wa Mungu Ndani ya kanisa la Bonde la Baraka"

Kushoto Upande wa Chini ni Mwanamke aliye kuwa hawezi hata kula chakula wala kunywa maji, Baada ya maombezi ya Imani katika kanisa la Bonde la Baraka amepona Kabisa na anaweza Kula na Kunywa Jina la Bwana liinuliwe "Amen".

































Maombezi ya Imani katika kanisa la bonde la Baraka  watu wakibubujika machozi.
 "Siku ya Maombezi ndani ya kanisa la Bonde la Baraka".

"Jumatano ya Upako katika kanisa la The valley of blessings".

Ni Jumanato hilio jaa neema ya Ajabu Ambayo watu wengi wamefunguliwa katika kanisa hili Mungu Awabariki Na Awape Uzima na Nguvu za kumtumikia "Amen"

Sunday, October 5, 2014

BELIEVERS OF THE VALLEY OF BLESSINGS OF ALL NATIONS.

Washirika wa Bonde la Baraka wakiwa katika maandamano ya mfungo wa DPPJ  mtaa wa nyerere road wakielekea katika kanisa la Bonde la Baraka Mungu awalinde katika Safari hii ndefu

DEMONSTRATION OF DPPJ IN MUSOMA, MARA, TANZANIA.



Ni Maandamano ya DPPJ ya Waumini wa kanisa la Bonde la Baraka wakiwa wameshikilia Mabango yanayo ashiri Amani na Utulivu wa kipekee katika Nchi yetu ya Tanzania na Mji mkuu wa Jerusalem, Waumini wa kanisa la Bonde la Baraka Musoma Tanzania wakiwa katika kiwanja cha Mkendo Wakielekea kanisani. Ni neema ya Mungu kutufikisha Hapa tulipo sasa.

MAANDAMANO YA DPPJ KATIKA KANISA LA BONDE LA BARAKA.

Ni maandamano ya DPPJ katika kanisa la Bonde la Baraka

Friday, October 3, 2014

5 Days of People being healed in the Church of the Valley of Blessings.


Ni Mkutano wa kipekee wa Injili ya Bwana Yesu Kristo, Ndani ya siku 5 Katika kanisa la Bonde la Baraka lililopo mkoa wa Mara (Tanzania), Atakuwapo Mchungaji Daniel Ouma (Dao) wa Musoma (Mara) na Mchungaji Joseph Mapunda wa Daersalam Wakiubili neo la Mungu na kuponya watu wenye Magonjwa hupona, Mapepo kukimbia. Nyote Mnakaribishwa katika kanisa la Bonde la Baraka.

Mkutano Mkuu wa Injili ya Yesu Kristo katika Kanisa la Bonde la Baraka na Mchungaji Joseph Mapunda

Siku 5 za Miujiza Katika kanisa la Bonde la Baraka.

Ni siku ya kipekee ya Mkutano wa Injili Unaofanyika ndani ya siku Tano (5) katika kanisa la Bonde la Baraka na Mchungaji Daniel Ouma(Dao), Kanisa la Bonde la Baraka tuna furaha ya kutembelewa na Mchungaji Joseph Mapunda wa Daersalam Kwa pamoja wakifanya huduma ya Mungu na Kuwafungua watu wenye matatizo mbali mbali, Mapepo kukimbia, Wagonjwa Kupona na Wengine Kupokea Baraka.

Thursday, October 2, 2014

Pray for the Peace of Jerusalem.

This is the only means that will ultimately change hearts in this troubled part of the world, We are followers of The Word of GOD and understand the covenant God has with His chosen people, Jerusalem, and we are now partakers of the same Blessing. We pray for the Peace of Jerusalem.